.
27th January, 2021
Katika muda wa chini ya wiki mbili sasa, rais uhuru kenyatta amejitokeza na kusisitiza hadharani kwamba angali ngangari na ameshika usukani wa taifa barabara. je, msimamo huu mkali ni kutokana na dhana kwamba amesukumwa sana na naibu wake ambaye wameshatofautiana kisiasa? au kipi kinachomfanya afoke hivyo hadharani? duncan khaemba amezungumza na mtaalamu wa mawasiliano na kuandaa ripoti ifuatayo