16th January, 2021
siku moja tu baada ya anne kananu kuapishwa kama naibu gavana wa nairobi tayari wanasiasa wa odm wanasema akiwa gavana, wapewe nafasi ya naibu wake. matukio haya yakitokea wakati mmojawapo wa viongozi wa bunge la kaunti ya nairobi akidokeza kuwa huenda kananu akafanywa gavana hata jumatatu wiki ijayo. nacho chama cha thirdway alliance kinasema matukio ya nairobi yanalenga kunyakua mgao wa mabilioni ya fedha jijini