×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Siasa za Nairobi: Wanasiasa wa ODM wasema Anne Kananu akiwa gavana, wapewe nafasi ya naibu wake

16th January, 2021

siku moja tu baada ya anne kananu kuapishwa kama naibu gavana wa nairobi tayari wanasiasa wa odm wanasema akiwa gavana, wapewe nafasi ya naibu wake. matukio haya yakitokea wakati mmojawapo wa viongozi wa bunge la kaunti ya nairobi akidokeza kuwa huenda kananu akafanywa gavana hata jumatatu wiki ijayo. nacho chama cha thirdway alliance kinasema matukio ya nairobi yanalenga kunyakua mgao wa mabilioni ya fedha jijini

.
RELATED VIDEOS