.
16th January, 2021
kiongozi wa kanu gideon moi ameongoza mkutano wa wanasiasa wengine kupigia debe bbi katika kisiwa cha faza kaunti ya lamu alipowahimiza wenyeji kuunga mkono serikali ya rais uhuru kenyatta katika azma hiyo. aliwaambia wakazi kuwa bbi ndio njia ya pekee kuhakikisha kuwa wakenya wote wanafaidi na maendeleo kutoka kwa serikali. viongozi wengine waliohudhuria hafla hiyo pia walitangaza kuwa mgombea wao wa urais ni gideon moi.