×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Rais Uhuru ainunulia Shabana gari, ni timu iliyovuma miaka ya nyuma ya KPL

21st October, 2020

Siku moja tu baada ya Shabana kuilaza Afc Leopards bao moja bila jibu na kutwaa taji la mashujaa, Rais Uhuru Kenyatta ameikabithi timu hiyo basi lenye uwezo wa kubeba abiria 62. Akizungmza kwenye hafla ya kupeana basi hilo, Rais Kenyatta ameitaka Shabana kukaza buti, kuimarisha viwango vyao ili kurejea ligi kuu ya kitaifa KPL.

 
.
RELATED VIDEOS