17th October, 2020
Ualimu ni taaluma iliyo na jukumu kuu la kutoa mafunzo kwa wanafunzi. mara nyingi walimu huyatekeleza majukumu yao wakiwa ndani darasani. lakini katika kaunti ya kajiado, wapo walimu wawili ambao wameenda zaidi ya shughuli za darasani ili kukuza mageuzi katika jamii. shadarack mitty anaangazia taarifa ya walimu wawili walio manaibu walimu wakuu, wanaohamasisha jamii kuhusu umuhimu wa masomo mbali na kuwatafutia wanafunzi werevu kutoka familia masikini ufadhili wa masomo yao ya sekondari.