.
22nd September, 2020
Kulikuwa na taharuki katika msitu wa cengalo kaunti ya Uasin gishu baada ya mwili wa msichana Victoria Chelagat mwenye umri wa miaka mitatu anayedaiwa kuuliwa na wazazi wake kisha kuzikwa kwenye msitu huo kufukuliwa. Wazazi wake Timothy Lihanda na Charity Jeruto wanadaiwa kushirikiana kumuua na kisha kumzika.mwili wake ambao Ulipatikana ukiwa umefunikwa na kuingizwa kwenye mkoba Kisha kuzikwa futi chache ardhini.elvis kosgei na maelezo zaidi