.
18th September, 2020
Msichana mwenye umri wa miaka saba anaendelea kupokea matibabu katika hospitali ya rufaa ya wajir baada ya kudaiwa kunajisiwa na mwanaume wa miaka thelathini katika kijiji cha handaki kaunti ya wajir.familia hiyo inalilia haki kwa mwana wao huku wazee wakipanga njama ya kutatua kesi hiyo kupitia mfumo wa maslaha kama anavyotuarifu mwanahabari wetu ahmed hussein.