×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Tathmini ya Covid-19 : Wachuuzi wa mitumba wakadiria hasara kutokana na marufuku ilioekewa mitumba

20th June, 2020

Janga la korona limeathiri sekta mbalimbali za uchumi, wafanyabiashara wadogo wakiwa miongoni mwa waliopata pigo kubwa. Wafanyabiashara wa masoko ya Gikomba na Mtindwa jijini nairobi wanakadiria hasara kufuatia marufuku dhidi ya bidhaa za mitumba. Brian otieno anaripoti kuhusu hayo katika siku ambayo idadi ya walioambukizwa virusi vya korona ikiendelea kupanda na idadi ya vifo ikifika watu 121 baada ya watu wawili zaidi kufariki dunia.

.
RELATED VIDEOS