3rd June, 2020
Tanzania ipo katika maandalizi ya mwanzo kabisa ya uchaguzi mkuu unaotarajiwa mwezi oktoba mwaka huu wa 2020, ingawa baadhi ya vyama vya upinzani nchini humo, vinakosoa maandalizi hayo ya mwanzo kwa madai kwamba ushirikishwaji wao ni hafifu, hasa katika wakati huu ambao tume ya taifa ya uchaguzi nchini humo inafanya mabadiliko ya kanuni mbalimbali za uchaguzi. Rajabu hassan, anaarifu kwa kina kutoka jijini dar es salaam....