.
3rd June, 2020
Wahudumu wa afya na wale wa usalama katika kaunti ya Nyamira, wamesisitiziwa wito wa kuimarisha shughuli zao Katika jiihada za kudhibiti virusi vya korona. Wakati huo huo,Usimamizi wa kaunti idara ya afya, imewaeka kwenye Karantini watu 679, ambapo kufikia sasa ni watu 49 pekee Ambao wanaelekea kukamilisha karatini na hakuna visa Vilivyothibitishwa. Ali manzu anaarifu kwa kina.