1st June, 2020
Huku taifa likisherehekea sikukuu ya madaraka familia moja katika mtaa wa Mshomoroni eneobunge la Kisauni inasononeka baada ya mpendwa wao mwenye umri wa miaka hamsini kupotea kwa siku tano sasa baada ya kutishiwa maisha. Mawia omar hajji ambaye amekuwa akimfanyia kazi mwakilishi wa kike wa kaunti ya lamu ruweida mohammed ambaye pia alitishiwa kwa kujihusisha na vita dhidi ya mihadarati.