.
28th May, 2020
Mwanamume mmoja mwenye umri wa miaka hamsini analilia haki baada ya kufika katika zahanati ya Kharanda eneo la Navakholo ili kufanyiwa upasuaji wa kukapanga uza kwa wanaume ila daktari aliyemfanyia shughuli hiyo akiifanya vibaya na kuharibu vibaya sehemu zake za siri.
Mgonjwa huyo ambaye sasa amelazwa katika hospitali ya rufaa ya Kakamega ameshindwa hata kulipia ada yake ya hospitali huku daktari aliyehusika akiingia mitini.