.
27th May, 2020
Maseneta wateule millicent omanga na victor prenge wameomba msamaha mbele ya kamati ya nidhamu ya chama cha jubilee kwa kutohudhuria mkutano wa wabunge wiki mbili zilizopita katika ikulu ya nairobi. Wawili hao wamesema kwamba wao ni wafuasi halisi wa chama cha jubilee na mkono kwa dhati sera na mipango ya chama. wawili hao wamesema hawakupokea ujumbe wa mualiko ikulu kutokana na changamoto kadha za teknolojia kupitia simu za rukono.