.
27th May, 2020
Wakenya walipokuwa wakitumai kwamba kafyu na changamoto za korona zimeanza kufifia, idadi mpya ya maambukizi kwa siku moja imefika watu 123. Hii ni kumaanisha sasa kenya ina jumla ya visa 1,471. Haya yakitokea wakati watu wengine watatu wakifariki naye waziri mutahi kagwe akikiri huenda pia wizara yake ina maafisa wakora.