.
25th May, 2020
Wakazi wa eneo la Roysambu wamelalamika vikali baada ya serikali kung'oa vibanda vya kupuliza dawa ili kuangamiza viini '' yaani fumigation booths. Wakazi hao wameomba serikali kurejesha chemba hizo kwani zimekuwa za umuhimu mkubwa kwao katika kujisafisha haswaa wakatii huu wa ugonjwa wa korona.