21st May, 2020
Wakazi wa mji wa Mtwapa kaunti ya Kilifi wanaishi kwa hofu ya mafuriko kufwatia kutomalizwa kwa mradi wa bomba la maji taka lililowagharimu walipa ushuru shilingi milioni 270.
Bomba hilo halijakamilishwa kwa zaidi ya miaka minane na baadhi ya wakazi wamepata majeraha kwa kutumbukia ndani.