.
20th May, 2020
Mwezi mmoja baada ya wakazi wa mwariki katika kaunti ya
nakuru kuelezea hofu kuhusu maji ya ziwa nakuru kuingia
makazi yao kutokea ardhini, sasa wameanza kubomoa makazi
yao na kupangisha vyumba mjini nakuru. Hii ni kutokana na
maboma yao kutota maji huku wanasayansi wakionya kuwa
huenda hali hiyo iwe mbaya zaidi kwani ziwa nakuru
linarejelea nafasi yake.