×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Chemichemi za ziwa: Watu wahama makazi yao baada ya ziwa Nakuru kuchipuka kutoka chini

20th May, 2020

Mwezi mmoja baada ya wakazi wa mwariki katika kaunti ya

nakuru kuelezea hofu kuhusu maji ya ziwa nakuru kuingia

makazi yao kutokea ardhini, sasa wameanza kubomoa makazi

yao na kupangisha vyumba mjini nakuru. Hii ni kutokana na

maboma yao kutota maji huku wanasayansi wakionya kuwa

huenda hali hiyo iwe mbaya zaidi kwani ziwa nakuru

linarejelea nafasi yake.

.
RELATED VIDEOS