×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Akina mama wajawazito wahangaika nyumbani kwa hofu ya Korona

14th May, 2020

Kina mama wajawazito maeneo mbalimbali wanahangaikia nyumbani kiasi cha kujifungulia nyumbani kwa usaidizi wa wakunga wa kienyeji.

Katika hospitali ya Jaramogi Oginga Odinga idadi wa kina mama wanaotembea hospitalini humo imepungua kwa kiasi kikubwa huku wengi wakisema wanahofia kutembelea hospitali wasije wakapatikana na dalili sawia na zile za virusi vya Korona.

.
RELATED VIDEOS