×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

"Hatubabaishwi wala kutikiswa na vitisho" akina mama wa Tangatanga wasema

14th May, 2020

Hatubabaishwi wala kutikiswa na vitisho ndo ujumbe wa kundi la Inua Mama la mrengo wa Tanga Tanga katika chama cha Jubilee, ujumbe waliomsukumia kiongozi wa chama rais Uhuru Kenyatta na msemaji wake Raphael Tuju. 

Mbunge wa Kandara  Alice Wahome pia amekejeli tishio kwamba, chama tawala kitaanzisha mikakati ya kuwapokonya viti wabunge waliochagulia na kusema kwamba hiyo ni ndoto ya saa sita mchana.

.
RELATED VIDEOS