×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mzazi wa kike kutoka jamii ya wafugaji amelaumiwa kwa kuwa chanzo cha mila potovu ya ukeketaji

8th March, 2020

Mzazi wa kike kutoka jamii ya wafugaji amelaumiwa kwa kuwa chanzo cha mila potovu ya ukeketaji miongoni mwa wanao wa kike. Hili limejitokeza kwenye warsha ya kuadhimisha siku ya wanawake ulimwenguni ambapo mashirika mbali mbali ya jamii yamewataka wazazi wa kike kusimama kidete katika vita dhidi ya mila hiyo ambayo inamnyima fursa mtoto wa kike kupata masomo.

.
RELATED VIDEOS