29th February, 2020
Mfanyakazi Wa Kenya Airways Anayetuhumiwa Kwa Kupuliza Kipenga Kuhusu Ujio Wa Ndege Kutoka Uchina Jumatano Amesema Maisha Yake Yamo Hatarini Baada Yake Kupokea Simu Za Kumtishia. Sasa Wakili Wake Ameahidi Kufika Mahakamani Kupinga Kusimamishwa Kazi Kwake. Wakati Huo, Taasisi Ya Kusimamia Idara Za Masuala Ya Wafanyakazi, IHRM Ikisisitiza Kuwa Ina Haki Ya Kujua Iwapo Mwanachama Wake Alikosea Au La Kumsimamisha Kazi.