×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Ekuro Aukot atangaza mwanzo wa awamu ya pili ya kukusanya sahihi ili kurekebisha katiba

17th February, 2020

Kiongozi wa chama cha Thirdway Alliance Daktari Ekuru Aukot ametangaza mwanzo wa awamu ya pili ya kukusanya sahihi ili kurekebisha katiba chini ya kauli mbiu ’punguza mizigo’. Aukot ameyagawanya mageuzi hayo katika viwango kumi ikiwemo kuupa nguvu ugatuzi, kuiondoa seneti, kupunguza idadi ya wabunge pamoja na kuipa nguvu zaidi bunge kati ya mapendekezo mengine. Wakati uo huo Aukot amezindua njia ya kidijitali ya wakenya kutia sahihi kuunga mkono mabadiliko hayo ya katiba. ?

.
RELATED VIDEOS