×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wamalwa: Wakenya wamekubali kuunga BBI, tulienda Bomas sote tukaikumbatia

16th February, 2020

Baadhi Ya Viongozi Kutoka Eneo La Pwani Sasa Wanataka Mapendekezo Yaliyotolewa Na Wakaazi Wa Eneo Hilo Kujumuishwa Katika Ripoti Ya Jopo La Upatanishi BBI. Viongozi Hao Kutoka Kaunti Ya Tana River Wamesema Kuwa Wanaunga Mkono Kikamilifu Mchakato Wa Marekebisho Ya Katiba Kupitia Jopo Hilo. Walikuwa Wakizungumza Wakati Wa Mazishi Ya Mzee Yona Godhana Ambaye Ni Baba Wa Gavana Wa Kaunti Ya Tana River Dhadho Godana.

.
RELATED VIDEOS