.
10th February, 2020
Mwanamume wa miaka 46 amewashambulia kwa panga na kuwaua binti zake wawili kabla ya kujiua katika kijiji cha Mbitini katika kaunti ya kitui. Tukio hilo lilitokana na mzozo wa nyumbani. Kulingana na mkewe marehamu Jediadah kimwele mumewe kimwele kaloe alikuja nyumbani akiwa mlevi na kisha kuanza kuwashambulia.