.
10th February, 2020
Shule ya msingi ya kakamega imefunguliwa rasmi leo baada ya kufungwa kwa muda huku maombi ya utakaso yakifanyika. Irene Kwatukha afisa wa polisi mjini kakamega leo ammezika bintie Prudence Eliza alyefariki katika mkanyagano uliotokea shuleni humo. Bi Irene aliyekuwa na watoto wawili katika ghorofa hiyo, alibahatika baada ya mwanawe wa kiume kuponea katika ajali hiyo. Mumewe alifariki miezi kadhaa iliyopita baada ya kuanguka kutoka kwenye ghorofa