×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Watu wanne katika kaunti ya Elgeyo Marakwet wafariki kutokana na mkurupuko wa Malaria

27th January, 2020

Watu wanne akiwemo mwanafunzi wa shule ya sekondari ya wasichana wamefariki Katika kaunti ya Elgeyo Marakwet kutokana na mkurupuko wa malaria Serikali ya kaunti hiyo imewarejesha kazi wafanyakazi waliokuwa likizoni kurejea ili kukabiliana na jinamizi hilo. 

.
RELATED VIDEOS