×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wanahabari wa bara la Afrika wakutana Mombasa kujadili mawasiliano nyakati za mikasa

27th January, 2020

Visa vya mikosi inayohusishwa na hali ya hewa vimekithiri katika sehemu nyingi duniani. Katika bara la afrika, ukame na mafuriko  ni majanga yaliyoongezeka yakisababisha maafa na uharibifu wa maendeleo. Jijini Mombasa takriban wanahabari kutoka nchi 20 za afrika wanajumuika hii leo kwa kongamano la kujadili mawasiliano wakati wa hatari. Warsha hiyo ya siku nne imeandaliwa na muungano wa wanahabari wanaojihusisha na masuala ya hatari barani Afrika kwa ufadhili wa umoja wa mataifa kitengo cha Kukabiliana na majanga.

.
RELATED VIDEOS