25th January, 2020
Polisi walimkamata mama mmoja aliyeonekana kwenye kanda ya video akizua kihoja baada ya afisa wa trafiki kutaka kumtia mbaroni. Mama huyo katika kanda hiyo ya video alikuwa akilalamika kwa ukali kuhusu hatua ya afisa huyo kupanda gari lake wakati wa kukamatwa kwake. Lakini je, sheria inasemaje iwapo afisa wa trafiki amekushika kwa kosa lolote barabarni