.
25th January, 2020
Mzozo wa uongozi kwenye msikiti mmoja mtaani Majengo hapa Nairobi, unatishia utoaji wa huduma, huku waumini wakitaka serikali iingilie kati. Hata hivyo waumini na viongozi katika msikiti wa Pumwani riyadh, wamedai kamati ya muda iliyoteuliwa na serikali ili kusimamia shughuli msikitini humo kwa muda, ndiyo ya kulaumiwa.