×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wataalam waelezea wasiwasi wao kuhusiana na idadi ya wanaojitokeza kufanyiwa uchunguzi wa saratani

22nd January, 2020

 

Wataalam pamoja na maafisa wa serikali wameelezea wasiwasi wao kuhusiana na idadi ndugo ya wanawake wanaojitokeza kufanyiwa uchunguzi wa saratani ya mlango wa uzazi. Wataalamu hao wamesema hayo baada ya kuhudhuria hafla ya  uzinduzi  wa kampeni ya kuhamasisha umma kuhisiana na aina hiyo ya saratani katika kaunti ya Makueni. Kamishna wa kaunti ya        Makueni  Mohammed Maalim amewataka machifu kusaidia katika kampeni hiyo ya kuhamasisha wananchi kuhusiana na ugonjwa huo

 

 

.
RELATED VIDEOS