×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Magoha akariri msimamo wa serikali ya kuwataka walimu wakuu kuruhusu wasio na karo kujiunga na shule

22nd January, 2020

Waziri wa elimu profesa George Magoha amekariri msimamo wa serikali wa kuwataka walimu wakuu wa shule za upili kutowazuia  wanafunzi kujiunga na kidato cha kwanza kwa sababu ya ukosefu wa karo. Magoha ameyasema hayo katika kampeni inayoendelea ya kuahakikisha kuwa wanafunzi wote wanajiunga na kidato cha kwanza ambapo alimtembelea mwanafunzi mmoja katika eneo la njiru hapa jijini Nairobi na kisha kumsindikiza kujiunga na shule ya upili katika kaunti ya Machakos.

 

 

.
RELATED VIDEOS