.
22nd January, 2020
Mrengo unaounga mkono rais Uhuru Kenyatta na aliyekuwa waziri mkuu Raila Odinga kwenye mchakato wa marekebisho kupitia jopo la upatanishi BBI umekaribisha hatua ya wandani wa naibu rais William Ruto kwamba watahudhuria mikutano ya BBI licha ya kuwa awali walikuwa wamesema watasusia mikutano hiyo. Viongozi hao hata hivyo wametilia shaka nia ya viongozi hao wakisema kuwa huenda wana nia fiche. Geff kirui na maelezo zaidi