×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Kiu ya Elimu : Mwanafunzi awashangaza walimu baada ya kuripoti shuleni na kalamu 2 pekee

21st January, 2020

<style type="text/css">p.p1 {margin: 0.0px 0.0px 0.0px 0.0px; line-height: 20.1px; font: 15.0px 'Microsoft Sans Serif'} span.Apple-tab-span {white-space:pre} </style>

Mwanafunzi mmoja kutoka eneo la dandora kaunti ya Nairobi ameshangaza walimu katika shule ya upili ya igoki huko Imenti kusini baada ya kufika shuleni humo saa tatu usiku akiwa amejihami na kalamu mbili pekee. licha ya matatizo hayo Wycliffe Omondi alijitahidi kufika shuleni japo bila karo na walimu wakampokea. Katika kaunti ya Nakuru,msichana mmoja aliyekita kambi katika kituo cha polisi cha Central amepata afueni baada ya msamaria mwema kujitokeza kumlipia karo na mahitaji ya shuleni. Naomy Kwamboka sasa amejiunga na shule ya upili ya Morop.

.
RELATED VIDEOS