×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Gavana wa West Pokot Lonyangapuo amewaonya madaktari wazembe kaunti hiyo

20th January, 2020

<style type="text/css">p.p1 {margin: 0.0px 0.0px 0.0px 0.0px; line-height: 20.4px; font: 15.0px 'Microsoft Sans Serif'} span.Apple-tab-span {white-space:pre} </style>

Gavana wa West Pokot John Lonyangapuo amewaonya wahudumu wa afya wanaoonyesha uzembe kazini kwamba watapigwa kalamu. Lonyangapuo amesema hayo alipofika ghafla katika zahanati ya losam na kumpiga kalamu muuguzi mmoja aliyekosa kufika kazini bila sababu maalum.  Alipowasili katika zahanati hiyo, ilikuwa saa moja asubuhi na kuipata milango imefungwa na muuguzi hayupo.

.
RELATED VIDEOS