20th January, 2020
<style type="text/css">p.p1 {margin: 0.0px 0.0px 0.0px 0.0px; line-height: 18.0px; font: 10.0px Arial; min-height: 11.0px} p.p2 {margin: 0.0px 0.0px 0.0px 0.0px; line-height: 20.4px; font: 15.0px 'Microsoft Sans Serif'} span.s1 {font: 10.0px Arial} span.Apple-tab-span {white-space:pre} </style>
Gavana wa kaunti ya Kakamega atasalia mwenyeti wa baraza la magavana baada ya kuchaguliwa bila pingamizi. Baraza la magavana liliandaa uchaguzi hii leo ambapo waliokuwa wakihudumu wamesalia kwenye nafasi zao ijapokuwa gavana wa nyeri mutahi kahiga ambaye sasa atakuwa mwenyekiti wa kamati kuhusu elimu iliyokuwa ikishikiliwa na aliyekuwa gavana wa Bomet marehemu Joyce Laboso. Wakati huo magavana waliozungumza wamepigia upatu mchakato wa BBI kwamba itaboresha ugatuzi