19th January, 2020
Mwanafunzi Mmoja Wa Shule Ya Upili Ya Wasichana Ya Pcea Bahati Amefariki Kutokana Na Athari Za Moshi Mzito Baada Ya Sehemu Ya Bweni Moja Katika Shule Hiyo Kuteketea. Wanafunzi Wengine Zaidi Ya Mia Moja Waliathiriwa Na Kupelekwa Hospitalini Kwa Matibabu.