×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Visiwa viwili kaunti ya Kwale vitanufaika na mradi wa Kawi ya umeme

13th January, 2020

Visiwa viwili katika kaunti ya kwale vya mkwiro na wasini vilivyoo lungalunga,  vinatarajiwa kunufaika na mradi wa umeme utakaofadhiliwa na benki ya duina na kaunti ya kwale  Kulingana na meneja msimamizi wa shirika moja lisilo la kiserikali mradi huo wa milioni 100 utazalisha kawi kupitia miale ya jua, na kuleta umeme katika visiwa hivyo. Wakizungumza baada ya mkutano wao, gavana wa kwale Salim Mvurya amesema mradi huo utawafaidi wenyeji ambao hutegemea sana uvuvi kuimarisha biashara ya samaki. Mradi huo utakaochukua miezi 12 ni mmoja wa miradi ya benki ya dunia katika kaunti yak wale.

.
RELATED VIDEOS