×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Polisi walazimika kutumia vitawa machozi kuwatawanyisha wanafanzi wa chuo cha Egerton

13th January, 2020

Polisi wamelazimika kutumia vitoa machozi ili kuwatawanya wanafunzi wa chuo kikuu cha Egerton waliokuwa wakizua rabsha nje ya chuo hicho. Wanafunzi hao walianzisha fujo kulalamikia hatua ya usimamizi wa chuo kuwazuia kuingia shuleni humo kabla ya kulipa pesa za gharama ya uharibifu waliosababisha kwenye mgomo wao wa Disemba mwaka jana.

.
RELATED VIDEOS