×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Waziri wa Elimu Prof Magoha amewataka walimu wakuu kutowanyima wanafunzi nafasi ya kujiunga na shule

13th January, 2020

 

        Waziri wa elimu Profesa George Magoha kwa mara nyingine tena amewaonya walimu wakuu wa shule za sekondari dhidi ya kutowapa wanafunzi wasio na karo nafasi ya kujiunga na kidato cha kwanza akisisitiza kuwa serikali inanuia kuhakikisha aslimia 100 ya usajili wa wanafunzi. Haya yanajiri huku wanafunzi wa kidato cha kwanza kutoka sehemu mbalimbali za nchi wakijiunga na shule za Sekondari. 

.
RELATED VIDEOS