×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mudavadi na Wetangula waapa kutohudhiria kikao cha BBI itakayoandaliwa Kakamega

11th January, 2020

Joto la kisiasa eneo la magharibi linaendelea kupanda huku Musalia Mudavadi na Moses Wetangula wakiapa kuwa hawatohudhuria mkutano wa viongozi wa magharibi wa hapo kesho kupanga maandalizi ya mkutano wa BBI utakofanyika Kakamega tarehe 18. Wakati huo huo viongozi kutoka kaunti ya Kericho wameapa kutokubali kampeni yoyote ya BBI kuwahi kufanyika katika kaunti hiyo.

.
RELATED VIDEOS