.
11th January, 2020
Joto la kisiasa eneo la magharibi linaendelea kupanda huku Musalia Mudavadi na Moses Wetangula wakiapa kuwa hawatohudhuria mkutano wa viongozi wa magharibi wa hapo kesho kupanga maandalizi ya mkutano wa BBI utakofanyika Kakamega tarehe 18. Wakati huo huo viongozi kutoka kaunti ya Kericho wameapa kutokubali kampeni yoyote ya BBI kuwahi kufanyika katika kaunti hiyo.