.
8th January, 2020
Polisi Mjini Eldoret Wamewaua Kwa Kuwapiga Risasi Washukiwa Wanne Wa Ujambazi Katika Makabiliano Kwenye Barabara Kuu Ya Eldoret Kuelekea Kitale. Inadiawa Washukiwa Hao Wa Ujambazi Walipanga Kuvamia Biashara Moja Mjini Humo Njama Ambayo Ilitibuka Baada Ya Kufumaniwa Na Polisi.