.
7th January, 2020
Mzozo umeanza kutokota tena kuhusiana na kutofunguliwa kwa halamshauri ya nafaka na mazao (NCPB) katika kaunti ya Uasin Gishu huku wakulima wakidai sasa pana njama fiche ya kuagiza mahindi kutoka mataifa ya nje. Kwa kawaida milango ya NCPB hufunguliwa mwezi wa Oktoba na kufungwa Februari ili kipindi hiki wadau wanaohusika wamepiga kimya