×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mwalimu adaiwa kushiriki mahaba na mwanafunzi wake kisha kuweka picha zao za uchi mitandaoni

7th January, 2020

Familia moja huko Bungoma inaitaka tume ya kuwajiri walimu, TSC, kumchukulia hatua mwalimu mmoja wa shule ya msingi, anayedaiwa kufanya mapenzi na binti yao kisha kumpiga picha akiwa uchi na kuzitundika picha hizo mitandaoni. Mwalimu huyo kutoka shule ya msingi ya Namutokholo, huko Sirisia          kaunti ya Bungoma, anatuhumiwa kumpiga picha mwanafunzi wa kike wa kidato cha tatu akiwa uchi, na kisha kuzitundika picha za mwanafunzi huyo kwenye mtandao. Babake msichana huyo aliaga dunia hivi majuzi na inadaiwa kwamba mwalimu huyo aliahidi kwamba angemsaidia msichana huyo.

 

 

.
RELATED VIDEOS