×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Seneta Gideon Moi na Kalonzo Musyoka wadaiwa kuzumgumzia swala la Urais 2022

4th January, 2020

Seneta Wa Kitui Enock Wambua Amedokeza Kuwa Seneta Wa Baringo Gideon Moi Na Kiongozi Wa Wiper Kalonzo Musyoka Wako Kwenye Mazungumzo Kuhusiana Na Kinyang'anyiro Cha Urais Wa Mwaka Wa 2022. Alikuwa Akizungumza Katika Eneo La Ngata Huko Nakuru Kwenye Mazishi Ya Mama Cecilia Rotich, Mamake Kenneth Mibei Ambaye Ni  Msaidizi Wa Seneta Gideon Moi. Mbunge Wa Kandara Alice Wahome Hakusazwa Huku Viongozi Wakisema Kuwa Anafaa Kumheshimu Rais. 

.
RELATED VIDEOS