.
3rd January, 2020
Waziri Wa Elimu Prof George Magoha Amewaonya Walimu Wakuu Watakaowatimua Wanafunzi Shuleni Kuhusiana Na Malipo Ya Karo Na Ada Zingine Shule Zitakapofunguliwa Juma Lijalo. Magoha Amesisitiza Kuwa Elimu Ni Haki Msingi Ya Kila Mwanafunzi. Alizungumza Kwenye Uzinduzi Wa Ufadhili Wa Elimu Wa Equity Wings To Fly Wa Mwaka Huu Unaowapa Wanafunzi Wanaobobea Darasani Kutoka Jamii Zisizo Na Uwezo Wa Kifedha.