.
2nd January, 2020
Wakazi wa eneo la Katani kaunti ya Machakos wameanza mwaka mpya kwa maandamano kuhusu barabara mbovu. Wanasema kwamba ubovu wa barabara hiyo umechangia utovu wa usalama na sasa shule zitakapofunguliwa wanafunzi watatatizika kuelekea shuleni.