.
2nd January, 2020
Wahudumu wa mabasi ya kampuni ya Simba coach wamesema kuwa basi lao lilokuwa katika msafara wa mabasi pamoja na basi la kampuni ya Mombasa Raha pia limevamiwa katika shambulizi hilo la wanamgambo na kusema kuwa kondakta wa basi hilo aliuawa. Idadi ya abiria wasiojulikana pia wanahofiwa kuuawa.