1st January, 2020
Leo ni tarehe mosi Januari, mwaka mpya kabisa wa 2020. Wakenya walijumuika na ulimwengu jana saa sita usiku kuukaribisha kwa njia spesheli mwaka huu. Katika hospitali ya rufaa ya Eldoret madaktari walisajili baraka kutoka kwa mwenyezi mungu..