31st December, 2019
Mji wa Mtito Andei unaendelea kufa kifo cha polepole. Mji huo ambao uko katika barabara kuu ya Nairobi?Mombasa, unaedelea kudidimia baada ya ujenzi wa reli ya SGR na shirika la huduma kwa wanyamapori, KWS, kufunga barabara inayoingia mjini humo.