Wakazi wa Isiolo ni wenye hamaki baada ya kuhadaiwa watakutana na Naibu Rais William Ruto
30th December, 2019
Zaidi ya wakazi 200 wa kaunti ya Isiolo wamejawa na ghadhabu baada ya kuahidiwa kuwa na mkao na naibu wa Rais William Ruto lakini kumbe walihadaiwa. Wakazi hao wanadai kwamba walitoa michango kiasi fulani cha pesa.